Mtoto wa mh raisi mstaafu kaandika ujumbe ulio wauzi wantanzania wenzake, pale alipo dai kuwa watu wakaskazini, hawawezi kupata madaraka kwa sababu ni majizi hii kauli imeonekana kuwaumiza watu na jamii kwa ujumla ,nakauli hii imeonekana nikama kauli ya kuwa gawa wantanzania ki geography,angali kwa makini comment za watu walivyo lumbana apo chini katika kumjibu riz one
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni