Ijumaa, 6 Novemba 2015

Riz one kikwete kaonekana kuwakashfu watu wakaskazini kwa kuwaita majizi katika ukurasa wake wa facebook

Mtoto wa mh raisi mstaafu kaandika ujumbe ulio wauzi wantanzania wenzake, pale alipo dai kuwa watu wakaskazini, hawawezi kupata madaraka kwa sababu ni majizi hii kauli imeonekana kuwaumiza watu na jamii kwa ujumla ,nakauli hii imeonekana nikama kauli ya kuwa gawa wantanzania ki geography,angali kwa makini comment za watu walivyo lumbana apo chini katika kumjibu riz one

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni