Kijama mmoja jina tume lihifathi amekutwa na kisa chakukutana na jini lilo vaa sura ya binti mrembo, punde alivyo kutana na bint huyo alibadilika na kuwa jini ten joka,
Kijana huyo amelia sana na amesema kisa icho anaomba kiwe mfano kwa vijana wote ,ambao ni macho juu kwakila wanaemuona istagram,amefanikiwa kunusurika baada ya wachungaji na mashehe kufika katika eneo latukio na kumuombea
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni