Ijumaa, 6 Novemba 2015

Raper 50 cent na rick rozy watupiana maneno ya kashfa na matusi katika mitandao ya kijamii ...

Kufuati rap rick rozy kukusudia kutoa album yake mpya dec 4 mwaka huu itakayo kwenda kwa jina la black market ,rap 50 cent katupia picha ya kumuonyesha rick rozy ana matiti makubwa kama mwanamke pamoja naku comment matusi ya kumtukana rozy,ila rozy alijibu kama inavyo onekana hapo kwwnye picha na mashabiki nao walifunguka kama inavyoonekana hapo chini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni