Mshindi huyo asema kuwa anasumbuliwa na
Mwiba wa kuwa stare kwani alisha zoea kupuyanga kitaani ila kwasasa kila akifanya ivyo wanamshangaa
Pia adai kuwa anasumbuliwa sana na wasichana wakimuita yeye ni handsome na kumtaka kimapenzi
Hivi ndivyo alivyo funguka
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni