Jumamosi, 7 Novemba 2015

Baada ya tajiri mkubwa tanzania kuitaka kuimiliki timu ya simba mohamed dewge , kumeonekana kuna ukimia mkubwa ....

Tajiri huyo mwenye nia ya kuiboresha timu ya simba kwa thati inasemakana bado haja pata majibu ya kurizisha ili ashike kijiti cha kuongoza simba katika mafanikio makubwa

Tunafanya jitiada zamakusudi natutawajuza wasomaji wetu wote pale habari zitakapo kuwa rasmi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni