Mh rais wa hawamu ya tano amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za hazina zilizopo pembezone mwajengo la ikulu na kukutana nahali ya kutokuwepo kwawafanyakazi wengi katika offic zao
Mh rais amejione hali ya wafanya kazi wake walivyo kuwa wazembe katika shuguli za kulijenga taifa bado tunafuatili tujue ata chukua atu gani
Hakika MH raisi ameanza kazi
KAMA ALIVYO SEMA HAPA KAZI TU
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni