Ijumaa, 6 Novemba 2015

Raisi wa tanzania joseph pombe magufuli afanya ziara ya kushtukiza mchana huu katika ofis za hazina

Mh rais wa hawamu ya tano amefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi za hazina zilizopo pembezone mwajengo la ikulu na kukutana nahali ya kutokuwepo kwawafanyakazi wengi katika offic zao

Mh rais amejione hali ya wafanya kazi wake walivyo kuwa wazembe katika shuguli za kulijenga taifa bado tunafuatili tujue ata chukua atu gani
Hakika MH  raisi ameanza kazi
KAMA ALIVYO SEMA HAPA KAZI TU

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni